Jumatano, 17 Juni 2015

MWIGIZAJI NYOTA NCHINI WEMA ISAAC SEPETU KUWANIA UBUNGE

Muigizaji maarufu nchini Tanzania Wema Sepetu ambaye amekaa kwenye umaarufu kwa muda mrefu sasa. Yupo mbioni kufungua ukurasa mpya katika ulingo wa Siasa kupitia Chama tawala cha CCM

aliyewahi kuwa, Miss Tanzania 2006 na Msanii wa Bongo Movie,Wema ...

Mwanaperamiho blog inazifuatilia kwa umakini mkubwa taarifa zinazoeleza kuwa mlimbwende huyo anatarajia kugombea Ubunge wa Viti maalum Mkoani Singida.






Hakuna maoni:

Chapisha Maoni