Jumapili, 21 Juni 2015

MUSTAFA PANJU KUINGIA KATIKA MBIO ZA UBUNGE ARUSHA MJINI

002
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Bushbucks Safaris iliyopo jijini Arusha Mustafa Panju akiongea na vyombo mbalimbali vya habari ofisini kwake ,akitangaza rasmi kuwania kiti cha ubunge jimbo la Arusha mjini kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM kushoto ni mke wake.
003
Kassim Mamboleo ambaye ni katibu wa kamati ya ushindi ya mgombea Mustafa Panju akitoa utambulisho kwa vyombo vya habari.
004
Taswira katika mkutano huo na waandishi wa habari.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni