Jumanne, 14 Julai 2015

TMT YAZIDI KUNOGA, WAWILI TENA WATOLEWA!

Baadhi ya washiriki wa shindano la kuibua vipaji vya kuigiza la TMT wakiwa kwenye jua la utosi.
Majaji wa TMT kutoka kushoto ni Richie, Monalisa pamoja na Roy.
Washiriki waliotoka jana kwenye shindano hilo, Rosemary Kivuyo wa Dar pamoja na Lameck Paul wa Mbeya.
Watangazaji wa TMT, Lulu pamoja na Mboto wakitangaza.
Mtangazaji wa TMT, Mboto (katikati) akiwa na wahudhuriaji waliojitokeza kuangalia shindano hilo.
Baadhi ya washiriki wa TMT mwaka huu wakisubiri kuitwa kwenye jua la utosi.
Wahudhuriaji katika shindano la TMT wakifuatilia kwa makini shindano hilo.
Mwalimu wa washiriki, Julieth Samson (Kemi) akifuatilia washiriki.
Jaji Mboto akiongoza shindano hilo.
(KWA HISANI YA GLOBAL PUBLISHERS)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni