Jumatano, 17 Juni 2015

nimekuwekea picha za mapokezi ya chama cha act wazalendo mjini kigoma

1
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa  kutambulisha viongozi wa chama hicho.

6

7
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akicheza wimbo wa chama ulioimbwa na msanii, Baba Levo, wakati wa mkutano wahadhara mjini Kigoma jana.
2

Baadhi ya wakazi wa mji wa Kigoma wakifuatilia mkutano wa hadhara wa chama cha ACT Wazalendo mjini Kigoma jana.


3
4
Wakereketwa wa Chama cha ACT Wazalendo wakisikiliza hotuba ya Kiongozi wa Chama hicho Bw. Zitto Zubery Kabwe


5

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni